Saturday, 8 December 2018

WAFANYAKAZI 93 WA ACACIA WAJENGEWA UWEZO KUSHIKA NYADHIFA ZA UONGOZI SEKTA YA MADINI

Wafanyakazi 93 wa kampuni ya ACACIA wakopatiwa mafunzo ya kushika nyadhifa za uongozi sekta ya madini, wakisikiliza utaratibu wa namna ya kusheherehekea mahafali ya kumaliza mafunzo hayo kwenye hoteli ya Malaika jijini Mwanza Desemba 7, 2018. Mgeni rasmi katika mahafali hayo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Nyangh'wale, Mhe.Hamimu Gwiyama.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Acacia waliotunukiwa vyeti vyao, kutoka kushoto, Bw. Fikiri Juma, Bw. Julius Maduhu na Bw.Emmanuel Nungu Wisaka, wakionyesha vyeti vyao baada ya kutunukiwa.

Bw. Hamimu Gwiyama, Mkuu wa Wilaya ya Nyangh'wale, akitoa hotuba yake. 








Bw. Hamimu Gwiyama, Mkuu wa Wilaya ya Nyangh'wale, akitoa hotuba yake.













No comments:

Post a Comment